Akipiga stori na Risasi Vibes, Snura alisema promota mmoja alimpeleka kufanya shoo mkoani Kilimanjaro na Mererani Arusha, lakini baada ya kuwa ameshafanya kazi, mtu huyo alimkimbia bila kumpa chake, kiasi kwamba alilazimika kurejea Dar kwa lifti.
“Sitasahau, nilisaidiwa lifti mimi na wacheza shoo wangu kutuleta Dar, lakini baadaye nilikuja kumpata huyo promota, nikamnyang’anya pete ya ndoa na uchumba, ninazo mpaka leo maana hakunilipa,” alisema Snura.
Chanzo:GPL
ConversionConversion EmoticonEmoticon