Najua ni siku ya pili toka Dk Jonas Benedict Tiboroha athibitishe kujiunga na uongozi waStand United kama mshauri wa benchi la ufundi, Dk Tiboroha ametangaza kuandika barua yenye page 22 kuishitaki TFFkatika shirikisho la soka ulimwenguni FIFA.

Sehemu ya barua iliyoandikwa na Stand United na kutumwa FIFA
- By Rama Mwelondo TZA
ConversionConversion EmoticonEmoticon